[songtitle]

[Artiste]

SHARE
TWEET
EMAIL
SHARE
PRINT

Cha muhimu kumweka Mungu mbele, aha!
Cha muhimu kuweka imani Kwake, enhe!
Haombwi mkate akampa mtu mawe, aha!
Haombwi mkate akampa mtu mawe
Kwa hivyo nawe mwamini Yawheh
Hivyo nawe mwamini Yawheh

Kwa maana ukimwita anasikia
Oh nikimwita anasikia
Anasema bisha (bisha), bisha (bisha)
Mlango atafungua
Utakacho itisha (itisha), itisha (itisha)
Hicho ndicho utapata
Nasema bisha (bisha), bisha (bisha)
Mlango atafungua
Utakacho itisha (itisha), itisha (itisha)
Hicho ndicho utapata

Manake namwita asubuhi namwita mchana namwita na jioni
Na mwingine sioni wa kuitika kila ninapomwita
Kwangu ni rafiki tena rafiki mwaminifu sana
Mwingine sioni wa kuitika kila ninapomwita aa

Namwita, namwita Yawheh
Nikilemewa namwita, namwita Yawheh
Ukilemewa mwite, mwite Yawheh
Aaa mwite mwite Yawheh

Nikimwita anasikia
Oh nikimwita anasikia
Anasema bisha (bisha), bisha (bisha)
Mlango atafungua
Utakacho itisha (itisha), itisha (itisha)
Hicho ndicho utapata
Nasema bisha (bisha), bisha (bisha)
Mlango atafungua
Utakacho itisha (itisha), itisha (itisha)
Hicho ndicho utapata

Manake ahadi zake ni kweli na amina
Ahadi zake hazivunjiki kamwe
Paulo na Sila siri walipata
Nami nakueleza omba utapata

Nikimwita anasikia
Oh nikimwita anasikia
Anasema bisha (bisha), bisha (bisha)
Mlango atafungua
Utakacho itisha (itisha), itisha (itisha)
Hicho ndicho utapata
Nasema bisha (bisha), bisha (bisha)
Mlango atafungua
Utakacho itisha (itisha), itisha (itisha)
Hicho ndicho utapata

Manake namwita asubuhi namwita mchana namwita na jioni
Na mwingine sioni wa kuitika kila ninapomwita
Kwangu ni rafiki tena rafiki mwaminifu sana
Mwingine sioni wa kuitika kila ninapomwita

Bisha bisha
Bisha bisha
Bisha bisha
Bisha bisha

HOW HAS THIS IMPACTED YOUR LIFE?

SHARE
TWEET
EMAIL
SHARE
PRINT