Nani aliye kama wewe mwokozi Yesu
Hakuna nguvu kama zako, wewe utuongoza..
Hakuna mwingine anastahili sifa zetu, hakuna jina lina okowa ila Lako
Nashukuru dhabihu ya ibaada yako
Nashukuru upendo wako
Nainua Jina Lako
Nainua Jina Lako Yesu x2
Jina Lako x3
Nainua Jina Lako
Nashukuru dhabihu ya ibaada Yako
Nashukuru neema yako
Nainua Jina Lako
Nainua Jina Lako Yesu×2
Jina Lako
Nainua Jina Lako x3
Jina la uwokovu,
Jina la ushindi
Jina la upendo
Jina la uwezo
Jina la Ufalme
Jina lenye nguvu
Jina
Jina la miujiza
Jina lenye nguvu
Jina lako Yesu, ni Jina la utukufu
Jina la mfalme
Jina la neema
Jina
Nainua Jina lako
Nainua Jina lako Yesu×3
There is no other name that saves x2
No other name that saves
Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh…
Intro Just a little time we will leave this world, Just a little time and we will live no more…
You beautify me you sustain me you glorify yourself in my life Iwo ni adun aye mi You show up…
For we are not drunk with wine in excess but we are filled with the Holyghost we are not drunk…
Thank you thank you thank you I have come to thank you Lord you have been so good to me…
Baba I thank you o o o I thank you o o o I thank you o o o I…
Leave a Comment