Lyrics

Mifupa Mikavu (Dry Bones) – Christina Shusho ft. Saint Stevoh

Ezekieli akiwa katika Roho (Ezekiel when in a vision)
Bwana akamweka chini (God placed him down)
Katika bonde nalo limejaa mifupa (In a valley full of bones)
Kamwambia Ezekieli “Je mifupa yaweza kuishi?”
(He asked Ezekiel “Is it possible for the bones to live?”)
Naye akajibu, “ee Bwana waijua wewe”
(And he replied, “Oh Lord You know”)
Bwana akamwambia “tabiri juu ya mifupa hii”
(The Lord told him “Prophesy over these bones”)
“Enyi mifupa, lisike neno la Bwana”
(You bones, listen to the word of the Lord)

Refrain:
Mifupa mikavu nakutabiria (Dry bones I prophesy to you)
Kwa jina le Yesu, uwe hai tena
(In the name of Jesus, to become flesh)
(Repeat)

Tabiri kwa upepo na mwili
(Prophesy in the spirit and in the flesh)
Roho wa Mungu aiweke dhahiri
(The Spirit of the Lord to make clear)
Kwa wanadamu waliona jikavu
(For as humans who only saw dry bones)
Kwa Mungu aliona jeshi moja shupavu
(God saw a mighty army)
Kuna wengi wetu tunapambana
(There are many of us who struggle)
Ng’ang’a na maisha yetu ngumu zaidi ya janga
(We wrestle with our tough lives)
But hiyo ni tu ni [.?.] rudisha
(But all that is […], it will be restored)
Position yetu in Christ, more than victorius
(Our position in Christ…)
Help thee, wealth thee and righteous
Maandiko imesema si waridhi wa mfalme
(The scripture says, we are inheriters of the kingdom)
Hautakufa, utaishi na kusimulia wema wa Bwana
(You will not die, but live and tell of the Lord’s Goodness)

(Refrain)

Natabiri juu ya afya yako (I prophesy over your health)
Natabiri juu ya kazi yako (I prophesy over your work)
Vilivyo kufa viwe hai, viwe hai tena
(Whatever was dead to live, to be live again)
Natabiri juu ya ndoa yako (I prophesy over your marriage)
Natabiri juu ya watoto wako (I prophesy over your children)
Vilivyo kufa viwe hai, viwe hai tena
(Whatever was dead to live, to be live again)
Hautakufa, utaishi na kusimulia mema wa Bwana
(You will not die, but live and tell of the Lord’s Goodness)
Vilivyo kufa viwe hai, viwe hai tena
(Whatever was dead to live, to be live again)

HOW HAS THIS IMPACTED YOUR LIFE?

Tags: Swahili
Oluwasetemi

interest in coding and code education volunteer @Gospellyrics

Leave a Comment

Recent Posts

Judah – Dunsin Oyekan

Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh…

2 months ago

Just a little time – Mark F Haggai

Intro Just a little time we will leave this world, Just a little time and we will live no more…

3 months ago

Adun – Sunmisola Agbebi X Yinka Okeleye

You beautify me you sustain me you glorify yourself in my life Iwo ni adun aye mi You show up…

3 months ago

Omi Iye – Paul Tomisin

For we are not drunk with wine in excess but we are filled with the Holyghost we are not drunk…

3 months ago

Thank You (Live) – Joe Mettle

Thank you thank you thank you I have come to thank you Lord you have been so good to me…

3 months ago

Baba We Thank You o – Nathaniel Bassey

Baba I thank you o o o I thank you o o o I thank you o o o I…

3 months ago