Lyrics

Mifupa Mikavu (Dry Bones) – Christina Shusho ft. Saint Stevoh

Ezekieli akiwa katika Roho (Ezekiel when in a vision)
Bwana akamweka chini (God placed him down)
Katika bonde nalo limejaa mifupa (In a valley full of bones)
Kamwambia Ezekieli “Je mifupa yaweza kuishi?”
(He asked Ezekiel “Is it possible for the bones to live?”)
Naye akajibu, “ee Bwana waijua wewe”
(And he replied, “Oh Lord You know”)
Bwana akamwambia “tabiri juu ya mifupa hii”
(The Lord told him “Prophesy over these bones”)
“Enyi mifupa, lisike neno la Bwana”
(You bones, listen to the word of the Lord)

Refrain:
Mifupa mikavu nakutabiria (Dry bones I prophesy to you)
Kwa jina le Yesu, uwe hai tena
(In the name of Jesus, to become flesh)
(Repeat)

Tabiri kwa upepo na mwili
(Prophesy in the spirit and in the flesh)
Roho wa Mungu aiweke dhahiri
(The Spirit of the Lord to make clear)
Kwa wanadamu waliona jikavu
(For as humans who only saw dry bones)
Kwa Mungu aliona jeshi moja shupavu
(God saw a mighty army)
Kuna wengi wetu tunapambana
(There are many of us who struggle)
Ng’ang’a na maisha yetu ngumu zaidi ya janga
(We wrestle with our tough lives)
But hiyo ni tu ni [.?.] rudisha
(But all that is […], it will be restored)
Position yetu in Christ, more than victorius
(Our position in Christ…)
Help thee, wealth thee and righteous
Maandiko imesema si waridhi wa mfalme
(The scripture says, we are inheriters of the kingdom)
Hautakufa, utaishi na kusimulia wema wa Bwana
(You will not die, but live and tell of the Lord’s Goodness)

(Refrain)

Natabiri juu ya afya yako (I prophesy over your health)
Natabiri juu ya kazi yako (I prophesy over your work)
Vilivyo kufa viwe hai, viwe hai tena
(Whatever was dead to live, to be live again)
Natabiri juu ya ndoa yako (I prophesy over your marriage)
Natabiri juu ya watoto wako (I prophesy over your children)
Vilivyo kufa viwe hai, viwe hai tena
(Whatever was dead to live, to be live again)
Hautakufa, utaishi na kusimulia mema wa Bwana
(You will not die, but live and tell of the Lord’s Goodness)
Vilivyo kufa viwe hai, viwe hai tena
(Whatever was dead to live, to be live again)

HOW HAS THIS IMPACTED YOUR LIFE?

Tags: Swahili
Oluwasetemi

interest in coding and code education volunteer @Gospellyrics

Leave a Comment

Recent Posts

Fallen – 121Selah

With a broken pen I speak without a sound from a broken heart a song of silence screaming loud the…

6 days ago

The Future – Dunsin Oyekan Ft. Naomi Raine, Sheldon Bangera, Matt Larverne, Joseph Espinoza

I have seen the future Revival is here I can see the whole world Worshipping the Lord Jesus like a…

3 weeks ago

The Worshipper’s Song – Dunsin Oyekan

Thank you for the things You do For the miracles give But I still prefer Your presence Over everything I…

3 weeks ago

No me without You – Dunsin Oyekan

No throne without the cross There’s no sacrifice without your blood All these You did for me No me without…

3 weeks ago

Glory Song – Dunsin Oyekan

Standing before Your throne There are no words to say But Holy Holy Holy Standing before Your throne There are…

3 weeks ago

Upper Room Anthem – Dunsin Oyekan

Glory to the Father Praise to the Son Honor to the Spirit Blessed Trinity Glory to the Father Praise to…

3 weeks ago