Verse 1
Roho mtakatifu njoo utawale
Wewe uliye juu ya yote
Ninakuomba utawale
Nataka nizame ndani na ndani
Zaidi, zaidi ya fahamu zangu
Sura yako iumbike kwangu
Mapenzi yako yatimizwe
Uwepo wako uwe fungu langu
Mi napendezwa sana nawe
Bridge
Ewe roho wa Mungu
Fanya makao ndani yangu
Ewe pumzi yangu
Fanya makao ndani yangu
Chorus
Nijaze nijaze
Nijaze bila kukoma
Nijaze nijaze
Nijaze bila kukoma
Verse 2
Mwalimu wa walimu
Nifunze leo nisiwe kikwazo cha uwepo wako
Ziteke hisia zangu ewe roho
Zisiwe kikwazo kwa nguvu zako
Rejesha kiu yako
Nikutamani zaidi
Fungua sikio langu
Nikusikie zaidi
Maana hakuna kilicho na dhamani zaidi yako
Hakuna aliye na hekima kama yako
Wewe uchunguzaye mawazo ya Mungu
Naomba unijaze leo, ewe ewe
Bridge
Ewe roho wa Mungu
Fanya makao ndani yangu
Ewe pumzi yangu
Fanya makao ndani yangu
Chorus
Bridge
Chorus
Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh…
Intro Just a little time we will leave this world, Just a little time and we will live no more…
You beautify me you sustain me you glorify yourself in my life Iwo ni adun aye mi You show up…
For we are not drunk with wine in excess but we are filled with the Holyghost we are not drunk…
Thank you thank you thank you I have come to thank you Lord you have been so good to me…
Baba I thank you o o o I thank you o o o I thank you o o o I…
Leave a Comment