Wakati mwingine nikiketi kukuimbia mie
Huwa nalemewa kupata maneno yanayoshimiri
Ni kama mtoto mchanga anapojaribu kueleza ukubwa wa sayari
Ni kama kidege kinapojaribu kueleza upana wa mbingu
Ni kama changarawe kujaribu kueleza ukubwa wa bahari
Ukweli ni kwamba maneno yangu hayatoshi, hayawezi kueleza
Hivyo daima na milele siku zote za maisha yangu
Nitatafuta kukuimbia maneno yanaykufaa
Wakati mwingine nikiketi kukuimbia mie
Huwa nalemewa kupata maneno yanayoshimiri
Ni kama tone la maji kujaribu kueleza mfuriko wa mvua
Ni kama wapendanao kujaribu kueleza fumbo la penzi
Ni kama mshumaa kujaribu kueleza kung’aa kwa jua
Ukweli ni kwamba maneno yangu hayatoshi, hayawezi kueleza
Hivyo daima na milele siku zote za maisha yangu
Nitatafuta kukuimbia maneno yanaykuofaa
Ni kama jiwe linapojaribu kueleza urefu wa mlima
Ni kama sheha shupavu kujaribu kueleza hadithi zote za jadi
Ni kama mwenye dhambi kujaribu kueleza neema ya msamaha
Ukweli ni kwamba maneno yangu hayatoshi, hayawezi kueleza
Hivyo daima na milele siku zote za maisha yangu
Nitatafuta kukuimbia, nitatafuta kukuimbia
Maneno yanaykuofaa
I have seen the future Revival is here I can see the whole world Worshipping the Lord Jesus like a…
Thank you for the things You do For the miracles give But I still prefer Your presence Over everything I…
No throne without the cross There’s no sacrifice without your blood All these You did for me No me without…
Standing before Your throne There are no words to say But Holy Holy Holy Standing before Your throne There are…
Glory to the Father Praise to the Son Honor to the Spirit Blessed Trinity Glory to the Father Praise to…
Yeshua The Beginning and the End Age to age You stay the same And forever You shall reign Yeshua The…
Leave a Comment