Yesu nashukuru kwa yote Umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2
Wengi wamekufa nami ninaishi
Wengi ni wagonjwa nami ni mzima
Ni nani aliyenipa uzima kama sio Wewe
Ni nani anayesababisha nikiishi leo
Yesu nashukuru kwa yote umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2
Kuamka kwangu asubuhi ni kwa neema Yako
Kulala kwangu jioni Mungu ni kwa neema Yako
Wangapi wanalala usiku asubuhi wanakua hawapo tena
Walio na pesa hawapo tena majina kubwa hawapo tena
Mimi ni nani umenipenda sana kanipa uzima naishi tu
Ninaposafiri kwenye magari unahakikisha nafika ninakoenda
Wakati wengi wanakufa kwenye ajali
Yesu wee,Yesu wee Yesu wee
Nashukuru Baba kutoka ndani ya moyo wangu
Nashukuru Baba ooh
Yesu nashukuru kwa yote umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2
Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh…
Intro Just a little time we will leave this world, Just a little time and we will live no more…
You beautify me you sustain me you glorify yourself in my life Iwo ni adun aye mi You show up…
For we are not drunk with wine in excess but we are filled with the Holyghost we are not drunk…
Thank you thank you thank you I have come to thank you Lord you have been so good to me…
Baba I thank you o o o I thank you o o o I thank you o o o I…
Leave a Comment