Lyrics

Nashukuru – Papa Sam

Yesu nashukuru kwa yote Umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2

Wengi wamekufa nami ninaishi
Wengi ni wagonjwa nami ni mzima
Ni nani aliyenipa uzima kama sio Wewe
Ni nani anayesababisha nikiishi leo

Yesu nashukuru kwa yote umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2

Kuamka kwangu asubuhi ni kwa neema Yako
Kulala kwangu jioni Mungu ni kwa neema Yako
Wangapi wanalala usiku asubuhi wanakua hawapo tena
Walio na pesa hawapo tena majina kubwa hawapo tena
Mimi ni nani umenipenda sana kanipa uzima naishi tu
Ninaposafiri kwenye magari unahakikisha nafika ninakoenda
Wakati wengi wanakufa kwenye ajali
Yesu wee,Yesu wee Yesu wee
Nashukuru Baba kutoka ndani ya moyo wangu
Nashukuru Baba ooh

Yesu nashukuru kwa yote umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2

HOW HAS THIS IMPACTED YOUR LIFE?

Tags: Kenya
Oluwasetemi

interest in coding and code education volunteer @Gospellyrics

Leave a Comment

Recent Posts

Judah – Dunsin Oyekan

Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh Judah Judah Judah Ehhh…

4 months ago

Just a little time – Mark F Haggai

Intro Just a little time we will leave this world, Just a little time and we will live no more…

4 months ago

Adun – Sunmisola Agbebi X Yinka Okeleye

You beautify me you sustain me you glorify yourself in my life Iwo ni adun aye mi You show up…

4 months ago

Omi Iye – Paul Tomisin

For we are not drunk with wine in excess but we are filled with the Holyghost we are not drunk…

4 months ago

Thank You (Live) – Joe Mettle

Thank you thank you thank you I have come to thank you Lord you have been so good to me…

4 months ago

Baba We Thank You o – Nathaniel Bassey

Baba I thank you o o o I thank you o o o I thank you o o o I…

4 months ago