Yesu nashukuru kwa yote Umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2
Wengi wamekufa nami ninaishi
Wengi ni wagonjwa nami ni mzima
Ni nani aliyenipa uzima kama sio Wewe
Ni nani anayesababisha nikiishi leo
Yesu nashukuru kwa yote umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2
Kuamka kwangu asubuhi ni kwa neema Yako
Kulala kwangu jioni Mungu ni kwa neema Yako
Wangapi wanalala usiku asubuhi wanakua hawapo tena
Walio na pesa hawapo tena majina kubwa hawapo tena
Mimi ni nani umenipenda sana kanipa uzima naishi tu
Ninaposafiri kwenye magari unahakikisha nafika ninakoenda
Wakati wengi wanakufa kwenye ajali
Yesu wee,Yesu wee Yesu wee
Nashukuru Baba kutoka ndani ya moyo wangu
Nashukuru Baba ooh
Yesu nashukuru kwa yote umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2
With a broken pen I speak without a sound from a broken heart a song of silence screaming loud the…
I have seen the future Revival is here I can see the whole world Worshipping the Lord Jesus like a…
Thank you for the things You do For the miracles give But I still prefer Your presence Over everything I…
No throne without the cross There’s no sacrifice without your blood All these You did for me No me without…
Standing before Your throne There are no words to say But Holy Holy Holy Standing before Your throne There are…
Glory to the Father Praise to the Son Honor to the Spirit Blessed Trinity Glory to the Father Praise to…
Leave a Comment