Lyrics

Nashukuru – Papa Sam

Yesu nashukuru kwa yote Umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2

Wengi wamekufa nami ninaishi
Wengi ni wagonjwa nami ni mzima
Ni nani aliyenipa uzima kama sio Wewe
Ni nani anayesababisha nikiishi leo

Yesu nashukuru kwa yote umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2

Kuamka kwangu asubuhi ni kwa neema Yako
Kulala kwangu jioni Mungu ni kwa neema Yako
Wangapi wanalala usiku asubuhi wanakua hawapo tena
Walio na pesa hawapo tena majina kubwa hawapo tena
Mimi ni nani umenipenda sana kanipa uzima naishi tu
Ninaposafiri kwenye magari unahakikisha nafika ninakoenda
Wakati wengi wanakufa kwenye ajali
Yesu wee,Yesu wee Yesu wee
Nashukuru Baba kutoka ndani ya moyo wangu
Nashukuru Baba ooh

Yesu nashukuru kwa yote umetenda
Hapa nimefika sio kwa nguvu zangu
Ni kwa nguvu zako Wewe ni Ebeneza x2

HOW HAS THIS IMPACTED YOUR LIFE?

Tags: Kenya
Oluwasetemi

interest in coding and code education volunteer @Gospellyrics

Leave a Comment

Recent Posts

Fallen – 121Selah

With a broken pen I speak without a sound from a broken heart a song of silence screaming loud the…

3 days ago

The Future – Dunsin Oyekan Ft. Naomi Raine, Sheldon Bangera, Matt Larverne, Joseph Espinoza

I have seen the future Revival is here I can see the whole world Worshipping the Lord Jesus like a…

2 weeks ago

The Worshipper’s Song – Dunsin Oyekan

Thank you for the things You do For the miracles give But I still prefer Your presence Over everything I…

2 weeks ago

No me without You – Dunsin Oyekan

No throne without the cross There’s no sacrifice without your blood All these You did for me No me without…

2 weeks ago

Glory Song – Dunsin Oyekan

Standing before Your throne There are no words to say But Holy Holy Holy Standing before Your throne There are…

2 weeks ago

Upper Room Anthem – Dunsin Oyekan

Glory to the Father Praise to the Son Honor to the Spirit Blessed Trinity Glory to the Father Praise to…

2 weeks ago